Huniachi by Reuben Kigame & Sifa Voices Ft. Gloria Muliro
A soul-lifting song from the African Christian/Gospel worshipper, minister, and song writer “Reuben Kigame“, as He calls this song “Huniachi” performed alongside Sifa Voices featuring Gloria Muliro. This song is sure to bless your heart and uplift your spirit.

Audio , Stream, Share, and be blessed
MORE REUBEN KIGAME SONGS
Lyrics: Huniachi by Reuben Kigame
Umeahidi wewe Bwana huniachi
Hadi mwisho wa dahari ulisema huniachi
Wewe ni Mungu uliye mwaminifu siku zote(hubadiliki)
Mimi naiweka Imani kwako baba
Nipitiapo maji mengi au moto huniachi
Unalijua jina langu ewe bwana huniachi
Unatengeneza njia hata mito kule jangwani
Wewe ndiwe alpha na omega huniachi
Umeahidi wewe Bwana huniachi
Hadi mwisho wa dahari ulisema huniachi
Wewe ni Mungu uliye mwaminifu siku zote
Mimi naiweka imani kwako baba
Uliwalinda wana Israeli kule Jangwani
Ukamtoa danieli kutoka tundu la simba
Wewe huwainua na wanyonge siku zote
Watuepusha na hatari kila siku usifiwe
Umeahidi wewe Bwana huniachi
Hadi mwisho wa dahari ulisema huniachi
Wewe ni Mungu uliye mwaminifu siku zote
Mimi naiweka imani yangu kwako baba
Baba hata mama wanaweza kunikana
Marafiki nao wanaweza nigeuka
Mara kwa mara maadui wanizunguka
Nitaishi kwa ahadi yako bwana, huniachi huniachi
Umeahidi wewe Bwana huniachi
Hadi mwisho wa dahari ulisema huniachi
Wewe ni Mungu uliye mwaminifu siku zote
Mimi naiweka Imani kwako baba
Umeahidi wewe Bwana huniachi
Hadi mwisho wa dahari ulisema huniachi
Wewe ni Mungu uliye mwaminifu siku zote(hubadiliki)
Mimi naiweka Imani kwako baba